iqna

IQNA

Naim Qassem
Kusambaratika Israel
TEHRAN (IQNA) – Akiashiria sehemu ya aya ya 2 ya Sura Al Hashr katika Qur’ani Tukufu, naibu kiongozi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amegusia mgogoro mkubwa katika utawala haramu wa Israel na kuandika: “Wakawa wanazibomoa nyumba zao kwa mikono yao na mikono ya Waumini.”
Habari ID: 3476773    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/28

Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA) Naibu Katibu MKuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sheikh Naim Qassem amesisitiza kwamba Palestina haiko peke yake kwa sababu ulimwengu wa Kiislamu unaiunga mkono.
Habari ID: 3476247    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/14